Search
Keywords
Latest topics
DR.ZEDY PHONE REPAIR
kutana na wataalamu wa kurekebisha simu za mkononi. kama flashing ulockin, hard and soft .lini tutafika
Page 1 of 1
lini tutafika
nimekuwa najiuliza sana juu ya hii safari yetu ya saana maana kazi tunazo fanya nimbovu kupita maelezo najua nyumba imara huanzia msingi wenyewe ktk film zetu ujenzi mathubuti unaanzia ktk story inakuja scripy cast location prodaction mtu wamwisho na tegemezi ni director ugumu unapo ijia nipale director anapo kuwa mbovu ama anatoa ushauli bora zaidi ila mwandaaji anagoma ili kukwepa ghara hii ndio sababu inayo nifanya nijiulize swali hili lini tutafika?naomba majibu ya uono wenu bandugu. @admin
DIRECTOR RACH- Posts : 1
Points : 3
Reputation : 0
Join date : 24/01/2013
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Thu Jan 24, 2013 6:56 pm by DIRECTOR RACH
» KUNDI LA SANAA RUNZEWE LIPO KATIKA HATUA ZA MWISHO KUFYATUA FILAMU MPYA.
Wed Dec 14, 2011 9:40 am by dr zedy
» hapa utaweza ku andika,kusoma na kujifunza kanuni au misingi ya uandishi wa script
Tue Dec 13, 2011 10:00 am by Admin
» Isemekana kwamba watoto hawawezi kushindana na watu wazima katika maswala mazima ya uhalisia .
Tue Dec 13, 2011 9:56 am by Admin
» filamu mpya za kahama.
Sun Dec 11, 2011 4:38 pm by chief gimbo
» kikundi cha faraja art group tokakahama na kazi yao mpya
Sun Dec 11, 2011 4:30 pm by chief gimbo
» mapinduzi ya filamu kahama
Sun Dec 11, 2011 4:24 pm by chief gimbo
» Your first subject
Sun Dec 11, 2011 3:11 pm by Admin